
Meneja wa Diamond Ataja Anapokosea Alikiba, Asema Yupo Tayari Kufanya Nae Kazi
Akiongea kwenye mahojiano na gazeti la Champion, Sallam alisema: Sina tatizo kabisa, akitaka tufanye kazi nitamweleza mahitaji yangu akikubali tutafanya kazi. Nilishawahi kukutana na Kiba, Nairobi, alinifuata akaomba tupige picha,...